Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G. Mweli

Bw. Gerald G. Mweli
Katibu Mkuu

Prof. Peter L. M. Msoffe

Prof. Peter L. M. Msoffe
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Mha. Athumani J. Kilundumya

Mha. Athumani J. Kilundumya
Naibu Katibu Mkuu (Umwagiliaji na Zana za Kilimo)

Slide Photo
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula, Prof. Peter L. M. Msoffe, ameitaka Menejiment ya Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) kuongeza kiwango cha upatikanaji wa mbolea nchini ili kumwezesha mkulima kufanya shughuli za kilimo wakati wote wa msimu. Prof. Msoffe ameeleza hayo tarehe 20 Aprili 2026, jijini Dad es Salaam na kuongeza kuwa usalama wa chakula ni suala muhimu kwa nchi yetu, hivyo TFC ina jukumu la kuhakikisha mbolea inapatikana kwa wakulima wakati wote wa uzalishaji wa mazao.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Taasisi na Bodi za Wizara